Chorus
Mimi ndimi chakula cha uzima
Chakula cha uziman{Aulaye mwili wangu, na kuinywa damu yangu
Huyo anao uzima wa milele } *2
Verse 2
Mimi ndimi chakula cha uzimankilichoshuka kutoka mbinguni
Alaye chakula hiki ataishi milele
Verse 3
Chakula nitakachowapa mimi
Ni mwili wangu pia na damu yangu
Ni kwa ajili ya uzima wa ulimwengu
Verse 4
Aulaye mwili na damu yangu
Huyo ana uzima wa milele
Nami nitamfufua siku ya mwisho
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.