SectionsEucharistMimi Ndimi Mzabibu

Mimi Ndimi Mzabibu

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Mimi ndimi mzabibu wa kweli,

Mimi ni mzabibu wa kweli

Nanyi m matawi yangu, asema Bwana } *2

Verse 2

[ b ] Na Baba yangu ndiye mkulima,

Kila tawi lisilozaa, Baba hulikata

Nalo tawi lizaalo, Baba hulisafisha, ili lizidi kuzaa

Verse 3

Kaeni nyote ndani yangu mimi,

Nami nikae ndani yenu, kwa maana mtu

Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa matunda

Verse 4

Mimi ni mti mti wa zabibu,

Nanyi ndinyi matawi ya mzabibu huu

Tawi linalojitenga, kutoka kwa mti huu, hunyauka tena hufa

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.