SectionsExitMimi Ni Mtumishi

Mimi Ni Mtumishi

Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Mimi ni mtumishi wake Bwana, nitendewe ulivyonena *2

Nitendewe ulivyonena, mimi ni mtumishi wa Bwana } *3

Verse 2

Salamu uliyejaa neema, Bwana yu pamoja nawe

Usiogope Maria, Mungu kakupendelea

Verse 3

Tazama utapata mimba utazaa mwana, utamwita jina Yesu,

Huyu atakuwa mkuu, ataitwa mwana wa aliye juu

Verse 4

Bwana Mungu atampa kiti cha enzi, cha Baba yeke Daudi

Ataitawala nyumba ya Yakobo hata milele

Ufalme wake hautakuwa na mwisho

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.