SectionsThanksgivingMimi Nimeumbika

Mimi Nimeumbika

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{ Mimi oh! oh oh! mimi oh! oh oh!

Niumbika mimi kweli napendeza } *2n{ Nitakuimbia, nitakuchezea

Asante Baba kuniumba jinsi nilivyo } *2

Verse 2

Nampenda Bwana kwa kuwa ananisikiliza

Huisikiliza sauti yangu na dua zangu

Hunitegea sikio lake nimwitapo yeye

Kwa hivyo nitaliita jina lake siku zote

Verse 3

Kamba za mauti ziliponizunguka mimi

Shida za kuzimu zikaniandama sana

Niliona tabu nyingi nikamlilia Bwana wangu

Nami nikaliita jina lake akaniokoa

Verse 4

Bwana katujalia sauti nzuri ya kupendeza

Ili tumwimbie yeye siku zote maishani

Kwa hivyo yatupasa sote kumwimbia yeye

Kwani Mungu wetu ni mkarimu kwa watu wote

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.