Mimi Ninakuja
Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
{ [ b ] Mimi ninakuja,n[ w ] Mimi ninakuja na zawadi zangu, Bwana pokea } *2
Verse 2
Mkate na divai, Bwana pokea
Mazao ya mashamba, Bwana pokea
Na pia nafsi zetu, Bwana pokea
Vyote tulivyo navyo, Bwana pokea
Verse 3
Furaha na uchungu, Bwana pokea
Na kiini cha ngano, Bwana pokea
Na tunda la mzabibu, Bwana pokea
Fedha za mifukoni, Bwana pokea
Verse 4
Nafaka upokee, Bwana pokea
Twakutolea vyote, Bwana pokea
Kwako Baba Muumba, Bwana pokea
Kwa njia ya Mwokozi, Bwana pokea
Verse 5
Katika mfariji, Bwana pokea
Ipate kugeuzwa, Bwana pokea
Iweze kutufaa, Bwana pokea
Pokea twakuomba, Bwana pokea
Verse 6
Ingawa ni kidogo, Bwana pokea
Twakutolea kwa moyo, Bwana pokea
Baba usikatae, Bwana pokea
Vipaji vya wanao, Bwana pokea
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.