Mimi Ninakuja

Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus

{ [ b ] Mimi ninakuja,n[ w ] Mimi ninakuja na zawadi zangu, Bwana pokea } *2

Verse 2

Mkate na divai, Bwana pokea

Mazao ya mashamba, Bwana pokea

Na pia nafsi zetu, Bwana pokea

Vyote tulivyo navyo, Bwana pokea

Verse 3

Furaha na uchungu, Bwana pokea

Na kiini cha ngano, Bwana pokea

Na tunda la mzabibu, Bwana pokea

Fedha za mifukoni, Bwana pokea

Verse 4

Nafaka upokee, Bwana pokea

Twakutolea vyote, Bwana pokea

Kwako Baba Muumba, Bwana pokea

Kwa njia ya Mwokozi, Bwana pokea

Verse 5

Katika mfariji, Bwana pokea

Ipate kugeuzwa, Bwana pokea

Iweze kutufaa, Bwana pokea

Pokea twakuomba, Bwana pokea

Verse 6

Ingawa ni kidogo, Bwana pokea

Twakutolea kwa moyo, Bwana pokea

Baba usikatae, Bwana pokea

Vipaji vya wanao, Bwana pokea

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.