Verse 1
Mtakatifu, mtakatifu,
Mtakatifu, Bwana Mungu.
Verse 2
Mtakatifu, mtakatifu,
Mtakatifu Bwana Mungu, wa majeshi, x2
Verse 3
Mbingu na dunia zimejaa utukufu
Mbingu na dunia, mbingu na dunia,
Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako,
Zimejaa utukufu wako.
Verse 4
Hosana juu, hosanna juu,
Hosana juu, hosanna juu mbinguni x2
Verse 5
Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina
Mbarikiwa yeye, mbarikiwa yeye,
Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana,
Ajaye kwa jina la Bwana.
Hosanna…
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.