SectionsEucharistMisa Centinary (Nasadiki)

Misa Centinary (Nasadiki)

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Nasadiki kwa Mungu Mmoja,

Nasadiki,

Ndiye Baba yetu Mwenyezi,

Nasadiki,

Muumba mbingu pia dunia,

Nasadiki,

Nasadiki kwa Yesu Kristu,

Nasadiki,

Chorus

Nasadiki

Nasadiki (Nasadiki) Nasadiki, Nasadiki.n

Verse 3

Mwana wa pekee wa Mungu

Nasadiki,

Aliyezaliwa kwa Baba

Nasadiki,

Akapata mwili Roho,

Nasadiki,

Kazaliwa naye Bikira,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 4

Kisha yeye ‘kasulibiwa,

Nasadiki,

Kwa amri ya Pilato,

Nasadiki,

Kwa ajili yetu ‘kateswa,

Nasadiki,

Akafa na akazikwa,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 5

‘Kafufuka katika wafu,

Nasadiki,

Akapaa juu mbinguni,

Nasadiki,

Ameketi kuume kwake,

Nasadiki,

Mungu Baba wetu Mwenyezi,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 6

Ndipo atakapotokea,

Nasadiki,

Kuhukumu wazima na wafu,

Nasadiki,

Kwake Roho mtakatifu,

Nasadiki,

Kwa kanisa la katoliki,

Nasadiki,

Nasadiki…

Verse 7

Ushirika wa watakatifu,

Nasadiki,

Ondoleo la dhambi zetu,

Nasadiki,

Nangojea ‘fufuko wa mwili,

Nasadiki,

Na uzima wa milele.

Nasadiki. Nasadiki…

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.