Utukufu juu kwa Mungu,nutukufu juu mbinguni
Na amani kote duniani kwa wenyenmapenzi mema
Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu,
Tunakutukuza, twakushukuru kwa ajili ya
Utukufu wako mkuu
Ewe Mungu, ndiwe Mfalme wa mbinguni,
Baba Mwenyezi,
Ewe Bwana Yesu Krisu, wa pekee
Mwana wa Baba
Ewe Yesu, Mwanakondoo wa Mungu,
Mwana wa Baba,
Ewe mwenye kuziondoa dhambi zetu,n‘tuhurumie.
Ewe mwenye kuziondoa za duniandhambi za watu
Ewe mwenye rehema nyingi,nupokee maombi yetu.
Uketiye kuume kwake Mungu Baba,n‘tuhurumie,
Kwa kuwa ndiwe uliye peke yako
Mtakatifu,
Peke yako ni wewe Bwana, peke yako
Bwana Mkuu,
Peke yako ni Mkombozi,npeke yako Yesu Kristu.
Naye Roho Mtakatifu, katikan‘tukufu wake,
Mungu mmoja anayeishi na kutawalanmilele yote.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.