SectionsEucharistMisa Kiserian (Ninasadiki)

Misa Kiserian (Ninasadiki)

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Ninasadiki, ninasadiki, ninasadiki

Ninasadiki, ninasadiki

Verse 2

Ninasadiki kwa Mungu mmoja,

Baba mwenyezi muumba wa mbingu

Na vitu vinavyoonekana pia ambavyonhavionekani

Verse 3

Ninasadiki kwa Yesu Kristu,

Mwana wa pekee

Mwana wake Mungu

Mwanga kwa Mwanga na Mungu kweli,

Tangu milele atoka kwa Baba

Verse 4

Aliyezaliwa bila kuumbwa, mwenyenumungu mmoja na Baba

Ambaye vitu vyote vimeumbwa naye,nameshuka toka mbinguni

Kwa ajili yetu sisi wanadamu, na kwanajili ya wokovu wetu

Verse 5

Akapata mwili kwa uwezo wa Roho

Mtakatifu, kwake yeye

Bikira Maria akawa mwanadamu,nakasulibiwa

Pia kwa ajili yetu sisi, akateswa kwanmamlaka ya Ponsyo Pilato

Akafa akazikwa

Verse 6

Akafufuka siku ya tatu kapaa mbinguninilivyoandikwa

Atarudi tena kwa utukufu kuwahukumunwazima na wafu

Verse 7

Ninasadiki pia kwa Roho, Mtakatifu,nmleta uzima

Atokaye kwao Baba na Mwana,naliyenena, kwao manabii

Ninasadiki, kanisa moja,nkatoliki, hilo la mitume,

Ninaungama na ubatizo,nufufuko na, uzima milele.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.