Chorus
Utukufu kwa Mungu juu mbinguninna amaninna amani
Duniani
Duniani kwankwa watu wenye mapenzi mema
Verse 2
Tunakusifu, tunakuheshimu,ntwakuabudu, tunakutukuza
Twakushukuru, mfalme wa Mbinguni,nkwa ajili ya utukufu wako.
Verse 3
Ee bwana Mungu, Mfalme wa mbinguni,
Baba Mwenyezi, Muumba wa wote
Ee Bwana Yesu, Mwana wa pekee
Mwana kondoo, Mwana wake Mungu.
Verse 4
Uondoaye, dhambi za dunia,ntuhurumie, utuhurumie
Uondoaye, dhambi za dunia,nulipokee, hili ombi letu.
Verse 5
Unayeketi kuume kwa Baba tuhurumie,nutuhurumie, Kwa kuwa wewe,nndiwe peke yako, Mtakatifu,npeke yako Bwana
Verse 6
Peke yako mkuu, Bwana Yesu Kristu,npamoja naye, Roho Mtakatifu
Kwa utukufu, wake Mungu Baba,nmilele yote, Amina, Amina
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.