SectionsEucharistMisa Kiserian (Utukufu)

Misa Kiserian (Utukufu)

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Utukufu kwa Mungu juu mbinguninna amaninna amani

Duniani

Duniani kwankwa watu wenye mapenzi mema

Verse 2

Tunakusifu, tunakuheshimu,ntwakuabudu, tunakutukuza

Twakushukuru, mfalme wa Mbinguni,nkwa ajili ya utukufu wako.

Verse 3

Ee bwana Mungu, Mfalme wa mbinguni,

Baba Mwenyezi, Muumba wa wote

Ee Bwana Yesu, Mwana wa pekee

Mwana kondoo, Mwana wake Mungu.

Verse 4

Uondoaye, dhambi za dunia,ntuhurumie, utuhurumie

Uondoaye, dhambi za dunia,nulipokee, hili ombi letu.

Verse 5

Unayeketi kuume kwa Baba tuhurumie,nutuhurumie, Kwa kuwa wewe,nndiwe peke yako, Mtakatifu,npeke yako Bwana

Verse 6

Peke yako mkuu, Bwana Yesu Kristu,npamoja naye, Roho Mtakatifu

Kwa utukufu, wake Mungu Baba,nmilele yote, Amina, Amina

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.