Chorus
Mke wako atakuwa kama mti wa mzabibu,n(wenye kuzaa matunda ndani ya nyumbanyako) x2
Verse 2
Mke wako atakuwa kama mzabibu, wenyenkuzaa matunda ndani ya nyumba yako.n
Bwana atawabariki kutoka sayuni,nwamtukuze Mungu Baba daima na milele.n
Familia yenu iwe familia bora,nyenye kumcha Mungu daima na milele.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.