Chorus
{ Mkono wako wa kuume amesimama Malkia
Amevaa dhahabu ya ofiri } * 2
Verse 2
Binti za wafalme wamo mikononi mwa kina bibi wastahi
Mkono wako wa kuume amesimama Malkia
Amevaa dhahabu ya ofiri *2
Verse 3
Sikiliza binti utazame na utege sikio lako
Usahau watu wako na nyumba ya Baba yako
Na yeye mfalme atakutamani *2
Verse 4
Atapelekwa kwa mfalme na mavazi yaliyofumwa vizuri
Wanawali wenzi wake wanaomfuata kwa mfalme
Wataelekwa kwake wakamuone
Yumo ndani ana fahari tupu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.