SectionsExitMkono Wako Wa Kuume

Mkono Wako Wa Kuume

Ordinary Time,Christmas,Wedding,MarianExit
Chorus

{ Mkono wako wa kuume amesimama Malkia

Amevaa dhahabu ya ofiri } * 2

Verse 2

Binti za wafalme wamo mikononi mwa kina bibi wastahi

Mkono wako wa kuume amesimama Malkia

Amevaa dhahabu ya ofiri *2

Verse 3

Sikiliza binti utazame na utege sikio lako

Usahau watu wako na nyumba ya Baba yako

Na yeye mfalme atakutamani *2

Verse 4

Atapelekwa kwa mfalme na mavazi yaliyofumwa vizuri

Wanawali wenzi wake wanaomfuata kwa mfalme

Wataelekwa kwake wakamuone

Yumo ndani ana fahari tupu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.