SectionsThanksgivingMoyo Wangu Wamtukuza

Moyo Wangu Wamtukuza

MarianThanksgiving
Chorus

Moyo wangu wamtukuza Bwana, Rohonyangu inafurahi x2

Verse 2

Kwa kuwa amemwangalia

Kwa huruma mtumishi wake

Hivyo tangu sasa watu wote

Wataniita mwenye heri

Verse 3

Kwa sababu mwenyezi Mungu

Amenifanyia makuu

Jina lake ni takatifu

Verse 4

Huruma yake ni kwa wote

Wote wale wanaomcha

Kizazi hata na kizazi

Verse 5

Huyatenda mambo makuu

Kwa nguvu za mkono wake

Wenye kiburi hutawany

Verse 6

Hushusha wote wenye vyeo,nkutoka vitini vya enzi,

Nao wote wanyenyekevu,nwote hao huwainua

Verse 7

Huwashibisha wenye njaa,nna matajiri huwaacha,

Waende mikono mitupu.

Verse 8

Hulilinda taifa lake, teulenna mtumishi wake,

Kikumbuka huruma yake

Verse 9

Kama alivyo waahidia,nbabu zetu kawahidia,

Ibrahim na uzao wake.

Verse 10

Atukuzwe Baba na Mwana,nnaye Roho Mtakatifu,

Leo, kesho hata milele,nkwa shangwe milele amina.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.