Chorus
Mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari
Mpeni Mungu yaliyo yake Mungu
Verse 2
Mpeni Mungu enyi viumbe vyake
Na mpe Bwana Mungu haki yake
Verse 3
Ulicho nacho waweza kumpa Bwana
Na mpe Bwana Mungu haki yake
Verse 4
Zawadi yako nenda ukampe Bwana
Na mpe Bwana Mungu haki yaken
Verse 5
Anakulinda mchana na usiku
Na mpe nawe shukrani yako mpenin
Verse 6
Ametulinda kutokana na maovu
Na mpe nawe shukrani yako mpenin
Verse 7
Ni wengi sana hawakufanikiwa
Na mpe nawe shukrani yako mpeni
Verse 8
Kuwa na uhai ni dhamana ya Bwana
Na mpe Bwana Mungu haki yake mpeni
Verse 9
Ndipo we dada we ujifkirie
Na mpe nawe shukrani yako mpenin
Verse 10
Na sisi wote tumkumbuke Bwana
Na tumpe nasi shukrani mpeni
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.