Chorus
Msalabani Yesu alilia
Mungu wangu mbona waniacha *2
Verse 2
Makuhani walifurahi
Bwana Yesu alipokufa
Watu wengi walisema
Maneno mengi yasiyofaa
Verse 3
Dunia yote ilitetemeka
Bwana Yesu alipokufa
Watu wengi walishtuka
Kweli huyu ni mwana wa Mungu
Verse 4
Ilipofka alasiri
Dunia yote ikawa giza
Papo hapo pazia ya hekalu
Ilipasuka vipande viwili
Verse 5
Ndugu na dada siku ya leo
Msiwe kama yule Thomaso
Amini leo na kutubu dhambi
Mtasamehewa na Bwana Yesu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.