SectionsExit Msalabani Yesu Alilia

Msalabani Yesu Alilia

Lent,Lent,Lent,Lent,Lent,Lent,Lent,Lent,LentExit
Chorus

Msalabani Yesu alilia

Mungu wangu mbona waniacha *2

Verse 2

Makuhani walifurahi

Bwana Yesu alipokufa

Watu wengi walisema

Maneno mengi yasiyofaa

Verse 3

Dunia yote ilitetemeka

Bwana Yesu alipokufa

Watu wengi walishtuka

Kweli huyu ni mwana wa Mungu

Verse 4

Ilipofka alasiri

Dunia yote ikawa giza

Papo hapo pazia ya hekalu

Ilipasuka vipande viwili

Verse 5

Ndugu na dada siku ya leo

Msiwe kama yule Thomaso

Amini leo na kutubu dhambi

Mtasamehewa na Bwana Yesu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.