Mshipi
Ni nani aliye Mungu, Mungu ila Bwananni nani aliye mwamba, mwamba ila Mungu,n{Ni Mungu ndiye anifungayenmshipi wa nguvu aha!
Ni Mungu ndiye kimbilio la unyonge wangunaha! Naye anaifanya kamilifu njia yangu } x2
Ni yeye Bwana aliye nguvu zangunnampenda sana ni yeye Jabali langu nanboma langu na Mwokozi wangu Mungunwangu mwamba wangu ninayemkimbilia
Ngao yangu na pembe ya wokovunwangu na ngome yangu
Katika shida zangu nilimwita Bwana ee
Bwana na kumlalamikia Mungu ee Mungunakaisikia sauti yangu hekaluni mwake kilionchangu kikaingia masikioni mwake
Bwana alinitendea sawasawa na hakinyangu akanilipa sawasawa na haki yangu
Nitamwita Bwana astahiliye kusifwanhivyo nitaokoka na adui zangu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.