SectionsThanksgivingMshukuruni Mwokozi

Mshukuruni Mwokozi

Thanksgiving
Chorus

Mshukuruni mwokozi enyi mataifa

Pigeni vigelegele pigeni makofi *2

Tangazeni rehema zake hekaluni mwake,

Semeni ya kuwa Bwana ni mwenye adili *2n

Verse 2

Njoni tumwimbie Bwana

Mwamba wa wokovu wetu

Mikononi mwake zimo pande ya dunia.

Bahari ni yake ndiye aliyetuumba

Na mikono yake ilituumba sisin

Verse 3

Bwana ametamalaki mataifa watasema

Ameketi juu ya makerubi Mbinguni

Yeye Bwana katika zayuni ni mkuu

Katukuka juu ya mataifa yoten

Verse 4

Mshangilieni Bwana mwimbieni zaburi

Vinanda na baragumu vyote mpigieni

Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema

Kwa kuwa fadhili ni za milelen

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.