Mshukuruni Mwokozi
Thanksgiving
Chorus
Mshukuruni mwokozi enyi mataifa
Pigeni vigelegele pigeni makofi *2
Tangazeni rehema zake hekaluni mwake,
Semeni ya kuwa Bwana ni mwenye adili *2n
Verse 2
Njoni tumwimbie Bwana
Mwamba wa wokovu wetu
Mikononi mwake zimo pande ya dunia.
Bahari ni yake ndiye aliyetuumba
Na mikono yake ilituumba sisin
Verse 3
Bwana ametamalaki mataifa watasema
Ameketi juu ya makerubi Mbinguni
Yeye Bwana katika zayuni ni mkuu
Katukuka juu ya mataifa yoten
Verse 4
Mshangilieni Bwana mwimbieni zaburi
Vinanda na baragumu vyote mpigieni
Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema
Kwa kuwa fadhili ni za milelen
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.