Msifadhaike Mioyoni
Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,LentThanksgiving
Verse 1
Msifadhaike, mioyoni mwenu,
Mwaamini Mungu Baba Mbinguni,
Niamini na mimi *2
Chorus
Nyumbani mwa Baba, mna makao
Mkajitahidi kuomba *2n/s/ Nafasi ziko, nafasi zisingali kuweko
Ningaliwaambia leo nakwenda mimin/b/ (Kuwaandalia) kisha nitakwenda na mimi kwa Baba
Verse 3
Tomaso akamwambia, Bwana sisi hatujui uendako wewe
Nasi twaijuaje njia *2
Verse 4
Mimi ndimi njia na ukweli na uzima
Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.