SectionsThanksgivingMsifadhaike Mioyoni

Msifadhaike Mioyoni

Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,LentThanksgiving
Verse 1

Msifadhaike, mioyoni mwenu,

Mwaamini Mungu Baba Mbinguni,

Niamini na mimi *2

Chorus

Nyumbani mwa Baba, mna makao

Mkajitahidi kuomba *2n/s/ Nafasi ziko, nafasi zisingali kuweko

Ningaliwaambia leo nakwenda mimin/b/ (Kuwaandalia) kisha nitakwenda na mimi kwa Baba

Verse 3

Tomaso akamwambia, Bwana sisi hatujui uendako wewe

Nasi twaijuaje njia *2

Verse 4

Mimi ndimi njia na ukweli na uzima

Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.