Msifuni Bwana Enyi Mataifa
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Msifuni Bwana enyi mataifa,
Mpigieni kelele za shangwe
Bwana ni Mfalme wa mataifann{ Fadhili za Bwana Bwana Mungu wetu
Fadhili za Bwana ni za milele } *2nn{ Bwana ndiye Muumba wetu, ndiye Bwana Mungu wetu
Na tumtukuze Bwana Mungu milele na hata milele } *2
Verse 2
Mwimbieni Bwana wimbo mpya
Mwimbieni Bwana kwa kinanda
Imbeni kwa sauti ya shangwe, mwimbieni
Verse 3
Enyi mataifa mtukuzeni Bwana Mungu
Itangazeni sauti ya sifa zake
Verse 4
Bwana Mungu mfalme ni mkuu
Juu ya mataifa yote
Na utukufu wake ni juu ya Mbingu na nchi
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.