Mungu Ni Mwema
Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{Mungu ni mwema, ni mwema kwangu
Mungu ni mwema, ni mwema kwangu
Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
Mungu ni mwema ni mwema Kwangu } *2
Verse 2
Ameniumba kwa sura yake,
Kanileta hapa duniani
Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
Verse 3
Ananilinda mchana usiku
Na siku zote yuko na mimi
Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
Verse 4
Ametmtuma mwanaye Yesu
Kuja unikomboa dhambini
Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
Verse 5
Ametesa vikali sana
Hata akafa msalabani
Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
Verse 6
Japo kweli mimi ni mdhambi
Bali yeye anipenda mimi
Mungu ni mwema, Mungu ni mwema
Mungu ni mwema ni mwema Kwangu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.