SectionsThanksgivingMungu Ni Mwema

Mungu Ni Mwema

Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{Mungu ni mwema, ni mwema kwangu

Mungu ni mwema, ni mwema kwangu

Mungu ni mwema, Mungu ni mwema

Mungu ni mwema ni mwema Kwangu } *2

Verse 2

Ameniumba kwa sura yake,

Kanileta hapa duniani

Mungu ni mwema, Mungu ni mwema

Mungu ni mwema ni mwema Kwangu

Verse 3

Ananilinda mchana usiku

Na siku zote yuko na mimi

Mungu ni mwema, Mungu ni mwema

Mungu ni mwema ni mwema Kwangu

Verse 4

Ametmtuma mwanaye Yesu

Kuja unikomboa dhambini

Mungu ni mwema, Mungu ni mwema

Mungu ni mwema ni mwema Kwangu

Verse 5

Ametesa vikali sana

Hata akafa msalabani

Mungu ni mwema, Mungu ni mwema

Mungu ni mwema ni mwema Kwangu

Verse 6

Japo kweli mimi ni mdhambi

Bali yeye anipenda mimi

Mungu ni mwema, Mungu ni mwema

Mungu ni mwema ni mwema Kwangu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.