Mungu Wangu Mungu Wangu Mbona Umeniacha
Ordinary Time,Pentecostal,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Pentecostal,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,EasterEntrance
Chorus
Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha
Verse 2
Wote wanionao huncheka sana
Hunifyonya watikisa vichwa vyao husemanhutegemea Bwana na amponye
Na amwokoe sasa maana apendezwa na yeye
Verse 3
Kwa maana mbwa wamenizunguka
Kusanyiko la waovu wamenisonga
Yamenizua mikono na miguu
Naweza kuihesabu mifupa
Verse 4
Wanagawanya nguo zangu
Na vazi wanalipigia kura
Nawe usiwe mbali
Ee Mungu wangu fanya haraka kunisaidia
Verse 5
Nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu
Katikati ya kusanyiko nitakusifu
Ninyi mnaomcha Bwana, msifuni
Enyi nyote mlio wazao wa Yakobo mtukuzeni.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.