SectionsExitMwalimu Tazama

Mwalimu Tazama

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Mwalimu, tazama,nhuyu amepatikana ana dhambinanapaswa kupigwa mawe

Kama sheria ilivyoandikwanna yapaswa yeye kufa mawe

Chorus

[b] Bwana Yesu akaseman|s| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe *2

Ni nani yeye nasema ni nanii*2

Chorus

|a| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe *2

Hakuna nasema, hakuna nasema *2

Chorus

|t| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe *4

Chorus

|b| Ni nani yeye asiye na dhambi ampige jiwe

Ni nani yeye ni nani ni nani, ni nani ni nani

Ni nani, ni nani ni nani, ni nani ni nani*2

Chorus

Wa -ka -shi -kwa -na -bu -twa -a!

Wakayatupa mawe chini na kwa aibu wakaenda zao

Verse 7

Walitazama tazama, hakukuwa naye mtu

Aliyekuwa tayari aweze kurusha jiwe

Yesu naye akasema, kamwambia mama yule

Inuka uende zako, usitende dhambi tena

Verse 8

Somo hili lafundisha na sisi tusiwe mbele

Kuwahukumu wenzetu, kujiona sisi wema

Tujinyenyekeze chini, tusijinyanyue juu

Yeye Mungu mwenye haki atatusamehe dhambi

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.