Verse 1
Mwamba wenye imara, kwako nitajificha
Maji hayo na damu, yaliyo toka humu
Hunisafi na dhambi, hunifanya mshindi
Verse 2
Kwa kazi zote pia, sitimizi sheria
Nijapofanya bidii, nikilia na kuudhi
Hayaishi makosa, niwe wa kuokoa
Verse 3
Sina cha mkononi, naja msalabani
Nilitupu, nifike, ni mnyonge, nishike
Nilimchafu naja, nioshe nisijafa
Verse 4
Nikungojapo chini, na kwenda kaburini,
Nipaapo mbinguni, na kukwona enzini
Roho yangu naiwe, rahani mwako wewe
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.