Verse 1
Mwanakondoo
Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia utuhurumie x2
Mwanakondoo,
Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia. Utuhurumie.
Utujalie, utujalie, amani
Utujalie, utujalie, utujalie amani. X3
Verse 2
Ufalmeo ufke utakalo lifanyike dunianinkama Mbinguni. Baba wa mbinguni jinanlako litukuzwe.
Verse 3
Utupe leo mkate, mkate wetu na utupentupe mkate wa kila siku. Baba wanmbinguni jina lako litukuzwe.
Verse 4
Makosa tusamehe kama vile twasamehenwatu waliotukosea. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.
Verse 5
Usitutie penye kishawishi walakininmaovuni utuopoe. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.n
Verse 6
Kwa kuwa ufal me ni wako na nguvu nanutukufu hata milele. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.