Mwanakondoo

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Mwanakondoo

Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia utuhurumie x2

Mwanakondoo,

Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia. Utuhurumie.

Utujalie, utujalie, amani

Utujalie, utujalie, utujalie amani. X3

Verse 2

Ufalmeo ufke utakalo lifanyike dunianinkama Mbinguni. Baba wa mbinguni jinanlako litukuzwe.

Verse 3

Utupe leo mkate, mkate wetu na utupentupe mkate wa kila siku. Baba wanmbinguni jina lako litukuzwe.

Verse 4

Makosa tusamehe kama vile twasamehenwatu waliotukosea. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.

Verse 5

Usitutie penye kishawishi walakininmaovuni utuopoe. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.n

Verse 6

Kwa kuwa ufal me ni wako na nguvu nanutukufu hata milele. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.