SectionsEntranceMwimbieni Binti Sayuni

Mwimbieni Binti Sayuni

LentEntrance
Verse 1

Mwimbeni binti sayuni, ee watu

Yuaja ni mwenye upole

Tazama ufalme wake yuaja kwetu

Kapanda punda mwanapunda

Chorus

Sauti, tuimbe, hosanna *2n

Na zipazwe leo na tumwimbie (Yesu)

Hosanna hosanna

Mwokozi, anawaita nyumbani, wana Daudin(Yesu) amekuja kwa jina la Bwana

Wanamwimbia (Yesu)

Verse 3

Tandikeni nguo zenu, Bwana apite

Mbarikiwa anakuja

Pambazeni njia kwa maua mazuri

Mbarikiwa anakuja

Verse 4

Fungueni mioyo yenu kwake,

Apate kuingia ndani

Mpokeeni Bwana mioyoni mwenu

Bwana mwenye upole mwingi

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.