Verse 1
Mwimbeni binti sayuni, ee watu
Yuaja ni mwenye upole
Tazama ufalme wake yuaja kwetu
Kapanda punda mwanapunda
Chorus
Sauti, tuimbe, hosanna *2n
Na zipazwe leo na tumwimbie (Yesu)
Hosanna hosanna
Mwokozi, anawaita nyumbani, wana Daudin(Yesu) amekuja kwa jina la Bwana
Wanamwimbia (Yesu)
Verse 3
Tandikeni nguo zenu, Bwana apite
Mbarikiwa anakuja
Pambazeni njia kwa maua mazuri
Mbarikiwa anakuja
Verse 4
Fungueni mioyo yenu kwake,
Apate kuingia ndani
Mpokeeni Bwana mioyoni mwenu
Bwana mwenye upole mwingi
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.