SectionsEntranceMwimbieni Bwana

Mwimbieni Bwana

Advent,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Mwimbieni Bwana, mataifa ya dunia

Mwimbieni Bwana litukuzeni jina lake

Verse 2

Tangazeni wokovu wake siku kwa siku

Yaelezeni mataifa utukufu wake

Verse 3

Utukufu na uzuri unamtangulia, Enzi nanwangavu zimo katika kikao chake kitakatifu

Verse 4

Mpeni Bwana enyi jamii za mataifa

Mpeni Bwana sifa na enzi

Verse 5

Mpeni Bwana utukufu wa jina lake

Toeni sadaka ingieni katika sebule zaken

Verse 6

Semeni kati ya mataifa, Bwana ni mfalme

Verse 7

Atatawala ulimwengu kwa haki

Na mataifa kwa uaminifu waken

Verse 8

Atukuzwe Baba na mwana, na Roho Mtakatifunkama mwanzo na sasa, na siku zote milele.

Amina.n

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.