SectionsEntranceMwokozi Wangu Rabi

Mwokozi Wangu Rabi

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,LentEntrance
Verse 1

Mwokozi wangu Rabi

Hukukosa kitunhukuitenda dhambi

Wapigwa bure tu

Mwenye dhambi ni mie

Mie mwenye ovu

Toba nihurumie

Nisikose wokovu

Verse 2

Kwanza sijazaliwa

Ulinikumbuka

Mtini kachomewa

Kwa yangu sadaka

Na mie nisiwaze

Nimekuwa mgumu

Rabi hunigeuza

Ukome wazimu

Verse 3

Leo nakuungama

Ndiwe Mungu wangu

Mwenye wingi wa neema

Mkazi wa uwingu

Sasa nimekupenda

Muinue mtumwao

Kwa mambo kuyatenda

Mpe nguvu na moyo

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.