Verse 1
Mwokozi wangu Rabi
Hukukosa kitunhukuitenda dhambi
Wapigwa bure tu
Mwenye dhambi ni mie
Mie mwenye ovu
Toba nihurumie
Nisikose wokovu
Verse 2
Kwanza sijazaliwa
Ulinikumbuka
Mtini kachomewa
Kwa yangu sadaka
Na mie nisiwaze
Nimekuwa mgumu
Rabi hunigeuza
Ukome wazimu
Verse 3
Leo nakuungama
Ndiwe Mungu wangu
Mwenye wingi wa neema
Mkazi wa uwingu
Sasa nimekupenda
Muinue mtumwao
Kwa mambo kuyatenda
Mpe nguvu na moyo
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.