Chorus
Naenda mimi nikatoe zawadi nikampe Mwokozi wangu
Naenda mimi nikatoe zawadi Japo kidogo nitakachotoa ninamuomba apokee
Verse 2
Ule wakati ndugu umefika wa kumpa Mungu wako zawadi
Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako
Verse 3
Hata kidogo ndugu ukatoe, Mungu wako kwani anakuona
Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako
Verse 4
Ulivyo navyo ndugu vya Bwana usisite usimame katoe
Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.