Verse 1
Naja mbele yako ewe Mungu wangu huku nimejawa na dhambi
Bwana usiniache uniwie radhi, mbele yako Bwana natubu
Chorus
Naja kwako nipokee, ingawa mimi nina dhambi *2
Verse 3
Nipe nguvu Bwana nishinde shetani, niishi na wewe daima,
Nikutumikie siku zangu zote, niking`ara kama theluji
Verse 4
Sadaka naleta ingawa sifai, lakini we Bwana pokea
Mkate divai zote nazileta, ewe Bwana wangu pokea
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.