SectionsEucharistNakukaribisha Yesu Wangu

Nakukaribisha Yesu Wangu

Eucharist
Verse 1

Nakukaribisha Yesu wangu ukae moyoni mwangu, (Bwana),

Nakukaribisha Yesu wangu chakula chenye uziman

Chorus

(Nishibishe) unishibishe (kwa chakula) chakula cha uzima

Niyweshe kinywaji safi cha rohon

Verse 3

Mwili wako ni chakula kinacho iburudisha roho yangu

Yesu karibu moyoni mwangu ukae name daiman

Verse 4

Damu yako ni kinywaji kinacho iburudisha roho yangu,

Yesu karibu moyoni mwangu, ukae nami daiman

Verse 5

Kwa Mwili na Damu yako Ee Yesu tunapata uzima tele

Yesu karibu moyoni mwangu, ukae nami daiman

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.