Verse 1
Nakukaribisha Yesu wangu ukae moyoni mwangu, (Bwana),
Nakukaribisha Yesu wangu chakula chenye uziman
Chorus
(Nishibishe) unishibishe (kwa chakula) chakula cha uzima
Niyweshe kinywaji safi cha rohon
Verse 3
Mwili wako ni chakula kinacho iburudisha roho yangu
Yesu karibu moyoni mwangu ukae name daiman
Verse 4
Damu yako ni kinywaji kinacho iburudisha roho yangu,
Yesu karibu moyoni mwangu, ukae nami daiman
Verse 5
Kwa Mwili na Damu yako Ee Yesu tunapata uzima tele
Yesu karibu moyoni mwangu, ukae nami daiman
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.