SectionsEntranceNatazama Kalvari

Natazama Kalvari

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Verse 1

Nimekukosa Bwana, kwa moyo wote ninajuta kweli, kwa moyo wote

Roho yangu ina-yohuzunika ninapokuona ulivyokufa

Chorus

{ Natazama Kalvari (Bwana) ulivyotundikwa mtini (kweli)

Mwili wangu wanyong'onyea ulivyosulibiwa } *2

Verse 3

Tena ni mimi Bwana, ni dhambi zangu ulizozifia, msalabani

Kifo cha aibu, kilikufika makusudi mimi, niokolewe

Verse 4

Kwenye kilima kile, walikusonya wakisema wote, asulibiwe

Kifo chako kwetu ni ukombozi wa mioyo yetu, na roho zetu

Verse 5

Unitulize Bwana, kwa mkono wako kwani ninatubu, makosa yangu

Naanguka kwako kifudifudi, ninaomba toba, kwa moyo wote

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.