Chorus
Ndimi mtumishi wako, nitafuraha kwako
Bwana (mimi)
Ndimi mtumishi wako, nitafuraha kwako
Bwana (ndimi)
Verse 2
Nitajonjegea altare ya Mungu.
Mungu wa raha ya roho yangun
Machoni pangu meza imepambwa,
Bwana tazama adui zangun
Malishoni mwa majani mabichi,
Ananitunza nikiwa nayen
Sifa ziende kwa Baba na Mwana,nna kwake Roho milele yote
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.