Chorus
Ndipo nilipo sema, tazama nimekuja
Bwana nimekuja, tazama nimekuja
Kuyafanya mapenzi yako x2
Verse 2
Nalimngoja Bwana kwa zaburinakaniinamia akakisikia kilio changunakatia wimbo mpya kinywani mwangunndiyo sifa zake Mungu wetu.
Verse 3
Dhabibu na matoleo hupendezwa navyo,nmasikio yangu umeyazibua, kafara nansadaka za dhambi huzitaka ndipo nilipontazama nimekuja.
Verse 4
Katika gombo la chuo nimeandikiwa,nkuyafanya mapenzi yako mapenzi yako,nee Mungu wangu ndiyo furaha, furahanyangu, naam sheria yako imo moyoninmwangu.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.