Ndiwe Kuhani

Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus

Ndiwe kuhani hata milele,nkwa mfano wa Melkizedeki x2

Verse 2

Neno la Bwana kwa bwana wangu

Kuketi mkono wake wa kuume

Hata ni wafanye adui zangu

Kuwa chini ya miguu, miguu yangu.

Verse 3

Bwana atanyoosha toka Sayuni,

Ile fmbo kuu ya nguvu zake,

Uwe na enzi juu ya adui, na waje,

Mbele yako wakitete-meka.

Verse 4

Kwa uzuri wa utakatifu,

Tokea tumbo la asubuhi,

Ukaoo umande wa ujana,

Ndiwe kuhani, kuhani hata milele.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.