Ndiwe Kuhani
Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus
Ndiwe kuhani hata milele,nkwa mfano wa Melkizedeki x2
Verse 2
Neno la Bwana kwa bwana wangu
Kuketi mkono wake wa kuume
Hata ni wafanye adui zangu
Kuwa chini ya miguu, miguu yangu.
Verse 3
Bwana atanyoosha toka Sayuni,
Ile fmbo kuu ya nguvu zake,
Uwe na enzi juu ya adui, na waje,
Mbele yako wakitete-meka.
Verse 4
Kwa uzuri wa utakatifu,
Tokea tumbo la asubuhi,
Ukaoo umande wa ujana,
Ndiwe kuhani, kuhani hata milele.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.