[s:] Ngong ngong ninagonga ee Bwana nisikien[w:] Nimo malangoni ninakuitan[s:] Ngong ngong ninagonga mlango wako Bwanan[w:] Bwana nipokee nikaribishen[s:] Nasikia kwa Bwana kuna chakulan[w:] Nimekuja Bwana unishibishen[s:] Nasikia ya kwamba kuna kinywajin[w:] Nimekuja leo niburudiken[s:] Bwana unipokee nisikilizen[w:] Unipe neema unibariki
Nyumba yake Bwana ni nyumba ya sala, endeninkwa heshima, tukaijongee meza ya mapendo, kwa furaha
Nyumbani mwa Bwana mna neema nyingi nendeninmkapewe, tuugonge mlango wake pamoja, tuingie
Bwana nimekuja leo na mapema, Mbele ya nyumbanyako, unikaribishe hekaluni mwako, nakuomba
Sala zangu na dua zangu natoa Bwana zikufikilie
Unifungulie masikio yako siku zoten
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.