Verse 1
Ni siku kubwa njooni nyote tushangilieni
Kweli kwa shangwe na tupigeni vigelegele
Twaomba Mungu Baba Awabariki awajalie na watoto
Verse 2
Ni siku kuu ya harusi siku ya furaha
Kwani wawili wamepatana kufunga ndoa
Lindeni ndoa yenu Ili kwa dhiki wala faraja msitengane
Verse 3
Mungu alipomuumba mwanamume Adamu
Akamuumbia mwanamke waishi pamoja
Agano lake Mungu Msilivumje, msilitupe, mhifadhi.
Verse 4
Basi wewe mwanamume umpende mke wako
Umlinde na kumtunza asiwe na upweke
Umlinde siku zote Hadi mwenyezi Mungu atakapoamua
Verse 5
Na wewe mwanamke umpende mume wako tu
Na watoto mtakaojaliwa naye Mungu
Uwatunze kwa wema, na kanisani uwapeleke kwake Mungu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.