Nikiziangalia Mbingu
Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Nikiziangalia mbingu, ni kazi ya vidole vyako
Mwezi na nyota za Mbinguni, ulizoratibisha wewe } *2
Verse 2
Naye mtu ni kitu gani, hata naye umkumbuke
Naye binadamu ni nani, hata naye umuangalie
Verse 3
Umemfanya punde mdogo ni mdogo kuliko Mungu
Umemvika taji yake, taji ya utukufu na heshima
Verse 4
Umemtawaza juu ya kazi, ni kazi ya mikono yako
Umevitia vitu vyote, chini ya miguu yako ee Bwana
Verse 5
Kondoo nao ng'ombe wote pia wanyama wa kondeni
Ndege wote wa angani na samaki wote wote baharini
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.