Nikupe nini ee Mungu cha kukupendeza,nuwezo wangu mdogo Bwana waujuanpamoja na dhiki inayonisonga pokeanzawadi yangu hii duni
Nikitazama wenzangu, wanakutoleanzawadi nyingi na nzuri za kukupendeza,nkasoro mimi tu, natoa kidogo. Wakatinmwingine, sitoi kabisa
Maisha yangu ya dhiki Bwana wayajua
Unyonge na udhaifu wangu waujua
Sina kitu mimi, cha kukutolea, lakininpokea nafsi yangu Bwana
Nayakabidhi maisha yangu kwako
Bwana uniongoze katika njia ya uzimanunisaidie wakati wa shida, kwani ninwewe tu tumaini langu
Kutoa ndugu ni moyo siyo utajiri
Ukimtolea Mungu atakuongeza,nuwasaidie watu maskini wasiojiwezanutabarikiwa
Ninawasihi wenzangu mliojaliwa
Maisha bora mazuri naya kuridhisha
Msimsahau, Bwana Mungu wenu,
Toeni kwa wingi mtabarikiwa.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.