SectionsOffertoryNikupe Nini Chakukupendeza

Nikupe Nini Chakukupendeza

Offertory
Verse 1

Nikupe nini ee Mungu cha kukupendeza,nuwezo wangu mdogo Bwana waujuanpamoja na dhiki inayonisonga pokeanzawadi yangu hii duni

Verse 2

Nikitazama wenzangu, wanakutoleanzawadi nyingi na nzuri za kukupendeza,nkasoro mimi tu, natoa kidogo. Wakatinmwingine, sitoi kabisa

Verse 3

Maisha yangu ya dhiki Bwana wayajua

Unyonge na udhaifu wangu waujua

Sina kitu mimi, cha kukutolea, lakininpokea nafsi yangu Bwana

Verse 4

Nayakabidhi maisha yangu kwako

Bwana uniongoze katika njia ya uzimanunisaidie wakati wa shida, kwani ninwewe tu tumaini langu

Verse 5

Kutoa ndugu ni moyo siyo utajiri

Ukimtolea Mungu atakuongeza,nuwasaidie watu maskini wasiojiwezanutabarikiwa

Verse 6

Ninawasihi wenzangu mliojaliwa

Maisha bora mazuri naya kuridhisha

Msimsahau, Bwana Mungu wenu,

Toeni kwa wingi mtabarikiwa.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.