SectionsExitNimepewa Mamlaka

Nimepewa Mamlaka

Ordinary TimeExit
Verse 1

Nimepewa mamlaka *2

Mbinguni na duniani

Nimepewa mamlaka yote *2

Verse 2

Basi enendeni mkayafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu *2

Verse 3

Mkiwabatiza kwa Jina la Baba na la Mwana na Roho Mtakatifu

Na kuwafundisha yote niliyowaamuru

Verse 4

Na tazama mimi niko pamoja nanyi siku zote

Niko pamoja nanyi siku zote mpaka ukamilifu ukamilifu wa dahari

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.