Verse 1
Nimepewa mamlaka *2
Mbinguni na duniani
Nimepewa mamlaka yote *2
Verse 2
Basi enendeni mkayafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu *2
Verse 3
Mkiwabatiza kwa Jina la Baba na la Mwana na Roho Mtakatifu
Na kuwafundisha yote niliyowaamuru
Verse 4
Na tazama mimi niko pamoja nanyi siku zote
Niko pamoja nanyi siku zote mpaka ukamilifu ukamilifu wa dahari
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.