SectionsExitNimepiga Vita

Nimepiga Vita

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Nimepiga vita, vilivyo vyema,

Vita vya roho na mwendo nimeumaliza *2

Sasa nangojea kupewa taji ya washindin[Na] sio mimi peke yangu *2

Pamoja na wateule waloshinda vita

Verse 2

Ninakuagiza mbele ya Mungu na mbele ya Kristu

Ukalihubiri Neno uwe tayari siku zote

Ukaripie unene kwa uvumilivu

Verse 3

Nao watajiepusha wasisikie yalo kweli

Mimi nimevumilia hadi ninaoga mikono

Bali wewe uwe na ukamilifu katika mambo yako

Verse 4

Uvumilie mabaya fanya kazi ya kuhubiri

Uihubiri injili uitimize huduma yako

Sasa wakati wa kufa kwangu umefika

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.