SectionsThanksgivingNimeteuliwa Na Mungu

Nimeteuliwa Na Mungu

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Nimeteuliwa na Mungu Baba nihubiri kwa kuimba*2n{ Nyimbo zinafundisha, nyimbo zaburudisha,

Nyimbo zinafariji, roho zilizovunjika } *2

Verse 2

Kila niamkapo nitamwimbia Bwana Mungu wangu

Nitaimba nyimbo za kumtukuza aliyeniumba

Verse 3

Mungu Baba Mwenyezi kaniteua mimi nihubiri

Nihubiri kwa nyimbo nyimbo za shangwe nyimbo za Mbinguni

Verse 4

Nafundisha kwa nyimbo naburudisha na ninafariji

Natangaza ufalme wa Mungu Baba kwa njia ya nyimbo

Verse 5

Sifa za Mungu Baba zimo kinywani mwangu siku zote

Mimi nitaziimba sifa za Mungu daima milele

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.