Nimeteuliwa Na Mungu
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Nimeteuliwa na Mungu Baba nihubiri kwa kuimba*2n{ Nyimbo zinafundisha, nyimbo zaburudisha,
Nyimbo zinafariji, roho zilizovunjika } *2
Verse 2
Kila niamkapo nitamwimbia Bwana Mungu wangu
Nitaimba nyimbo za kumtukuza aliyeniumba
Verse 3
Mungu Baba Mwenyezi kaniteua mimi nihubiri
Nihubiri kwa nyimbo nyimbo za shangwe nyimbo za Mbinguni
Verse 4
Nafundisha kwa nyimbo naburudisha na ninafariji
Natangaza ufalme wa Mungu Baba kwa njia ya nyimbo
Verse 5
Sifa za Mungu Baba zimo kinywani mwangu siku zote
Mimi nitaziimba sifa za Mungu daima milele
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.