SectionsEucharistNinakupenda Ewe Mwokozi

Ninakupenda Ewe Mwokozi

Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Ninakupenda ewe Mwokozi wangu,nrafki yangu mpenzi wa moyo wangu,

Ukae nami daima ndani yangu,nnipate nguvu na heri siku zote.

Verse 2

Nina kutolea mwili na roho yangu,nunipe neema zako nipate nguvu,

Nikae nikupendeze mwokozi wangu,nshetani muovu kamwe asinipate.

Verse 3

Nilinde niwe imara na mwenye nguvu,nnisitumbukie tena katika dhambi,

Unionyeshe yaliyo ya heri kweli,nnipate kuishi kwa kumpendeza Bwana

Verse 4

Nawe uliye njia kweli na uzima,nniongoze vyema daima siku zote,

Uniangazie mwanga palipo giza,nnifkishe kwake Baba kwa neema yakon

Verse 5

Nakukaribisha Bwana moyoni mwangu,nnijarie ewe Bwana baraka yako,

Hata siku ya mwisho nitakuapia,nni ile mbinguni kwenye heri milele.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.