SectionsEntranceNingekua Na Mabawa

Ningekua Na Mabawa

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Ningekuwa na mabawa, ningeruka hadi mbinguni

Ningekuwa na ufunguo, ningefungua mlango wakon{ Niingie nyumbani mwako, nikuimbie Mungu wangu

Katika makao yako, makao ya milele } *2

Verse 2

Malaika wanakuimbia nyimbo nzuri za furaha.

Makerubi hata maserafi wanasifu jina lako

Verse 3

Ningekuwa mimi ni bahari ningevuma kwa sauti

Ningekuwa mimi ni kengele ningelia usikie

Verse 4

Bwana mimi nitakuimbia siku za maisha yangu

Nitaimba sifa zako Bwana ili watu wasikie

Verse 5

Naamini kwamba siku moja nitafika mbele zako

Natamani sana kuja kwako kwenye raha ya milelen

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.