Chorus
Nitajisifia udhaifu wangu udhaifu wangu,nili uweza wa Kristu ukae juu yangunmaana ninapokuwa dhaifu ndipo nilipo na nguvu x2
Verse 2
Sina budi kujisifia japo kuwa haipendezi,nlakini ninajizuia nisihesabiwe hatia,nbali nasema ukweli juu ya maono niliyopata.
Verse 3
Sababu ya mafunuo hayo nalipewa mwiba mwilini,nnikamsihi Mungu wangu jambo hili liniepuke,nnaye akaniambia neema yangu pekee inatosha.
Verse 4
Napendezwa na udhaifu dharau taabu mateso,nnakuyavumilia yote hayo kwa ajili ya Kristu,nkwani uweza wa Kristu hutimia katika udhaifu.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.