Chorus
Nitajongea altare yako,
Furaha yangu na heri yangu siku zote
Verse 2
Peleka mwanga wako wa uaminifu wako
Viniongoze vinipeleke kwako,nkatika hekalu lako takatifu
Verse 3
Nami nitajongea altare ya Mungu
Mungu wa furaha yangu nami nitakusifu
Moyo wangu kwani wasikitika
Verse 4
Nafsi yangu kwa nini kuinama na kufadhaika
Umtumaini Mungu, kwani yeye ndiye nguvu zako
Verse 5
Sifa kwa Baba na mwana na roho mtakatifu
Kama toka mwanzo, na sasa na milele. amina.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.