Chorus
Nitajongea mbele ya meza yako nipokee
Nitajongea mbele ya meza yako nipokeen{Roho yangu Yesu inakutamani
Ukae ndani yangu nami ndani yako
Nipate uzima wa milele} *2
Verse 2
Karibu Yesu wangu, shinda nami daima
Moyoni Mwangu, uwe na mimi
Siku zote za maisha yangu
Verse 3
Karibu Yesu wangu, kitulizo cha kiu
Moyoni mwangu, uwe na mimi
Siku zote za maisha yangu
Verse 4
Karibu Yesu wangu, kitulizo cha njaa
Moyoni mwangu, uwe na mimi
Siku zote za maisha yangu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.