Nitakusifu Mungu
Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Nitakusifu Mungu(Mungu) Mwenyezi
Kwa mema mengi Baba unayoyatenda } *4n{ Unastahili sifa milele (Bwana)
Utukufu na sifa zako milele } *2
Verse 2
Furaha yangu ni kubwa ee Mungu kukusifu kwa nyimbo nzuri na sala
Unipe neema zako ee Mungu niongoze katika maisha yangun
Verse 3
Mbingu zahubiri utukufu Mungu wangu bila uoga wowote
Anga yaitangaza kazi ya mikono yako ee Mwenyezi uliye juu
Verse 4
Fadhili zako ni za milele na uaminifu wako haupimiki
Nitaimba zaburi yako Bwana siku zote za maisha yangu
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.