SectionsThanksgivingNitakusifu Mungu

Nitakusifu Mungu

Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

{ Nitakusifu Mungu(Mungu) Mwenyezi

Kwa mema mengi Baba unayoyatenda } *4n{ Unastahili sifa milele (Bwana)

Utukufu na sifa zako milele } *2

Verse 2

Furaha yangu ni kubwa ee Mungu kukusifu kwa nyimbo nzuri na sala

Unipe neema zako ee Mungu niongoze katika maisha yangun

Verse 3

Mbingu zahubiri utukufu Mungu wangu bila uoga wowote

Anga yaitangaza kazi ya mikono yako ee Mwenyezi uliye juu

Verse 4

Fadhili zako ni za milele na uaminifu wako haupimiki

Nitaimba zaburi yako Bwana siku zote za maisha yangu

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.