Nitatoa Nini Mimi
Nitatoa nini mimi ewe Mungu wangu,nkitakachokuwa sawa na fadhili zako,nwewe ni Bwana (wa rehema), fadhilinzako (za milele), nikupe nini (nikupe)nnikushukuru. Kama ni fedha (nazo ni zako)nhata mazao (ya mashamba) nikupe ninin(nikupe) nikushukuru
Mema mengi umenitendea eeh Mungunwangu, hata siwezi kukulipa, mara ngapinmimekukosea eeh Mungu wangu nanwewe ukanisamehe.
Usiku hata mchana wewe unanilinda,nhata hivyo sikukushukuru, umenilisha chakula ili nipate nguvu lakininsikukushukuru
ninajitolea kwako kimwili na kiroho,nvyote hata maisha yangu, nitaimbannikisema asante Mungu wangu, siku zotenhata milele
Nakutolea mkate ni mmea wa ngano,ndivai tunda la mzabibu, kwa fumbo lanmaji haya pia divai hii nishiriki umungunwako
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.