SectionsEntranceNjooni Tuimbe Njooni Tucheze

Njooni Tuimbe Njooni Tucheze

Entrance
Chorus

Njooni tuimbe, njooni tucheze, njoonintufurahi mbele zake Bwana. Piga makofi,npiga vigelegele shangilieni Bwana leo asubuhi

Verse 2

Sauti ya kwanza semeni alelluya

Sauti ya pili tumsifu Yesu Kristu.

Sauti ya tatu na ile ya nnenwaseme pamoja milele amina

Verse 3

Wa mama wote pigeni vigelegele

Wababa wote vinanda vipigwe sana.

Pigeni filimbi, ngoma na kayamba.

Watoto wadogo wachangamkeni

Verse 4

Mataifa yote njooni mbele za Bwana.

Makabila yote simameni tuimbe.

Nyanyukeni nyote pigeni makof,nshangwe, nderemo, vifjo machezo

Verse 5

Bahari na vitu vyote vivijazavyo.

Milima, mito na miti shangilieni.

Ndege wa angani na warukeruke,nwanyama kondeni furahini sana.

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.