Chorus
Njooni tuimbe, njooni tucheze, njoonintufurahi mbele zake Bwana. Piga makofi,npiga vigelegele shangilieni Bwana leo asubuhi
Verse 2
Sauti ya kwanza semeni alelluya
Sauti ya pili tumsifu Yesu Kristu.
Sauti ya tatu na ile ya nnenwaseme pamoja milele amina
Verse 3
Wa mama wote pigeni vigelegele
Wababa wote vinanda vipigwe sana.
Pigeni filimbi, ngoma na kayamba.
Watoto wadogo wachangamkeni
Verse 4
Mataifa yote njooni mbele za Bwana.
Makabila yote simameni tuimbe.
Nyanyukeni nyote pigeni makof,nshangwe, nderemo, vifjo machezo
Verse 5
Bahari na vitu vyote vivijazavyo.
Milima, mito na miti shangilieni.
Ndege wa angani na warukeruke,nwanyama kondeni furahini sana.
Comments
Sign in to join the conversation
Share your thoughts on this hymn with the community.