Nyanyukeni

Ordinary Time,MarianEntrance
Chorus

Nyanyukeni waumini wote tufanyenshangwe kwa nderemo, kwa vigelegelenna kwa vifjo x2 Bwana asifwe (sana),

Bwana asifwe x2 (kweli) mwadhaninaragoshuo x2

Verse 2

Nikiziangalia mbingu ni kazi ya vidolenvyako, mwezi na nyota za mbinguninulizoratibisha wewen

Verse 3

Uwezo wake Bwana Mungu haupimikinkwa mizani, mipango yake kwetu sisinhaiwezi kubadirishwa

Verse 4

Alikausha bahari ya shamu ikawa nchi kavu,nwaisraeli wakapita kwa uwezo wa

Mungu Baba.

Verse 5

Natupigeni tarumbeta vinubi hata nanmatari, tuimbe wimbo wake Musa na ulenwa Mwana Kondoo

Verse 6

Pazeni sauti zenu kwa shangwe hata na vifjo,nsifa pia na utukufu tumpe Bwana siku zote

Comments

Sign in to join the conversation

Share your thoughts on this hymn with the community.